Papa Klementi IV

Papa (1265-1268), muangalizi wa Roger Bacon & Thomas Aquinas

Papa Klementi IV (23 Novemba mwaka usiojulikana – 29 Novemba 1268) alikuwa Papa kuanzia tarehe 5/22 Februari 1265 hadi kifo chake[1]. Alitokea Saint-Gilles, Ufaransa[2].

Papa Klementi IV.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Gui Foulques.

Alimfuata Papa Urbano IV akafuatwa na Papa Gregori X.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.