Papa Nikolasi II (alifariki 27 Julai 1061) alikuwa Papa kuanzia mwezi Desemba 1058 au tarehe 24 Januari 1059 hadi kifo chake[1]. Alitokea Burgundy, leo nchini Ufaransa[2].

Papa Nikolasi II.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Gérard de Bourgogne.

Alimfuata Papa Stefano IX akafuatwa na Papa Alexander II.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Nikolasi II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.