Papa Pelagio I alikuwa Papa kuanzia tarehe 29 Machi 556 hadi kifo chake tarehe 4 Machi 561[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Papa Pelagio I

Alimfuata Papa Vigilio akafuatwa na Papa Yohane III.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Ekonomou, Andrew J. 2007. Byzantine Rome and the Greek Popes: Eastern influences on Rome and the papacy from Gregory the Great to Zacharias, A.D. 590–752. Lexington Books.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Pelagio I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.