Papa Severino alikuwa Papa kuanzia Oktoba 638 au tarehe 28 Mei 640 hadi kifo chake tarehe 2 Agosti 640[1]. Alitokea Roma, Italia[2]. Jina la baba yake lilikuwa Abienus.

Papa Severino.

Alimfuata Papa Honori I akafuatwa na Papa Yohane IV.

Ingawa Severino alikuwa amechaguliwa mnamo Oktoba 638, ilichukua zaidi ya mwaka mmoja na nusu kupata kibali cha Kaisari wa Bizanti.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Severino kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.