Papa Stefano V
Papa Stefano V alikuwa Papa kuanzia Septemba 885 hadi kifo chake tarehe 14 Septemba 891[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].
Alimfuata Papa Adriano III akafuatwa na Papa Formosus.
Tazama pia hariri
Maandishi yake hariri
- Opera Omnia kadiri ya Migne katika Patrologia Latina pamoja na faharasa
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Stefano V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |