Papa Stefano VI alikuwa Papa kuanzia Mei/Juni 896 hadi kifo chake mnamo Julai/Agosti 897[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Papa Stefano VI.

Alimfuata Papa Bonifasi VI akafuatwa na Papa Romanus.

Anajulikana hasa kwa kuchimbua na kunajisi maiti ya Papa Formosus. Mwenyewe aliuawa kwa tendo hilo.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Stefano VI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.