Papa Urban V, O.S.B. (takriban 131019 Desemba 1370) alikuwa Papa kuanzia tarehe 28 Septemba/6 Novemba 1362 hadi kifo chake[1]. Alitokea Grizac, Ufaransa[2].

Mwenye heri Papa Urban V.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Guillaume Grimoard.

Alimfuata Papa Innocent VI akafuatwa na Papa Gregori XI. Alikuwa wa sita kati ya Mapapa walioishi Avignon, na alirudi Roma kwa muda hadi aliposhindwa na mazingira.

Alisifiwa kwa elimu na utakatifu wake.

Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius IX tarehe 10 Machi 1870.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Urban V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.