Petro III wa Ureno

Petro III (Lisbon, 5 Julai 1717 hivi - Queluz, 25 Mei 1786, aliyepewa jina la utani la Capacidónio, Sacristão na Edificador) alikuwa Mfalme Mwenza wa Ureno na Algarves kuanzia 1777 hadi kifo chake.

Picha ya Pedro III

Alikuwa mwana wa Mfalme Yohane V na mkewe Archduchess Maria Ana wa Austria, hivyo kuwa ndugu mdogo wa Mfalme Yosefu I na mjomba wa Maria. Petro III hakuwahi kushiriki katika siasa na kila mara alimwachia mke wake mambo ya serikali. Alitumikia kwa maisha yake nafasi ya mwenzi.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Petro III wa Ureno kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.