Piato
Piato (alifariki Seclin, 286 hivi) alikuwa padri mmisionari wa kwanza huko Tournai, leo nchini Ubelgiji.
Mzaliwa wa Benevento, Italia, aliuawa kwa imani yake[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
- Saint of the Day, October 1: Piaton at SaintPatrickDC.org
- (Kifaransa) Le Retour de Saint Piat - French page that includes pictures of the relics of Saint Piatus
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |