Rafinha (mchezaji aliyezaliwa 1985)

Márcio Rafael Ferreira de Souza (anajulikana kama Rafinha; alizaliwa Septemba 7, 1985) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Brazil ambaye anachezea timu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Brazil.

Rafinha

Jina lake linalotafsiriwa kutoka katika lugha ya Kireno kwa maana linamaanisha "Rafa mdogo".

Yeye anajulikana kama mkabaji mwenye ujuzi na mwenye ubora wa kucheza mpira, kasi, mwepesi na ni mchezaji mwenye nguvu.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rafinha (mchezaji aliyezaliwa 1985) kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.