Shilingi ya Tanzania

Shilingi ya Tanzania (kwa Kiingereza Tanzanian shilling; kifupi: TSh; code: TZS) ni fedha rasmi ya Tanzania. Imegawanyika katika senti (cents kwa Kiingereza) 100.

Sarafu ya shilingi 200 upande wa mbele.

Shilingi ya Tanzania ilishika nafasi ya East African shilling tarehe 14 Juni 1966 at par.[1]

Kabla yake katika maeneo ya Tanzania ya sasa ziliwahi kutumika East African florin, East African rupee, Zanzibari rupee, Zanzibari riyal na German East African rupie.

Shilingi 100 zinaandikwa "100/=" au "100/-". Senti 50 zinaandikwa =/50 au -/50.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Linzmayer, Owen (2012). "Tanzania". The Banknote Book. San Francisco, CA: www.BanknoteNews.com. 

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: