Simeoni wa Siracusa

Simeoni wa Siracusa (pia: wa Trier; Siracusa, Sicilia, Italia, 987; Trier, Rheinland-Pfalz, Ujerumani, 1035) alikuwa mkaapweke na shemasi mwenye asili ya Ugiriki[1] aliyeishi sehemu mbalimbali za Palestina na katika Mlima Sinai.

Kaburi lake huko Trier.

Baada ya matukio mengi aliishia Ujerumani amejifungia katika mnara hadi kifo chake[2][3].

Tarehe 5 Januari 1047, Papa Klementi II alimtangaza mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Juni[4] au 1 Mei [5].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Eberwin, ‘De sancto Symeone, recluso in porta Trevirensi’, Acta Sanctorum, Jun 1, cols 0089A-0101E.
  • Maurice Coens, ‘Un document inédit sur le culte de S. Syméon, moine d’orient et reclus a Trèves’, Analecta Bollandiana 68 (1950), 181-96.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.