Simeoni wa Siracusa
Simeoni wa Siracusa (pia: wa Trier; Siracusa, Sicilia, Italia, 987; Trier, Rheinland-Pfalz, Ujerumani, 1035) alikuwa mkaapweke na shemasi mwenye asili ya Ugiriki[1] aliyeishi sehemu mbalimbali za Palestina na katika Mlima Sinai.
Baada ya matukio mengi aliishia Ujerumani amejifungia katika mnara hadi kifo chake[2][3].
Tarehe 5 Januari 1047, Papa Klementi II alimtangaza mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Jestice, Phyllis G. Holy People of the World: A Cross-Cultural Encyclopedia. Vol. 1. p. 808. ISBN 1-85109-649-3.
- ↑ Heikkilä, Tuomas (2001). The Papers of the Nordic Conference on the History of Ideas 'From Local Hero to European Celebrity? The Textual History of the Legend of St. Symeon of Trier'. Vol. 1. Helsinki. Archived from the original on 2018-04-14. Retrieved 2020-05-19.
- ↑ https://www.santiebeati.it/Detailed/92829.html
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Ὁ Ὅσιος Συμεὼν ὁ Πεντάγλωσσος ὁ Σιναΐτης. 1 Μαΐου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.
Marejeo hariri
- Eberwin, ‘De sancto Symeone, recluso in porta Trevirensi’, Acta Sanctorum, Jun 1, cols 0089A-0101E.
- Maurice Coens, ‘Un document inédit sur le culte de S. Syméon, moine d’orient et reclus a Trèves’, Analecta Bollandiana 68 (1950), 181-96.
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |