Sitaha ni upande wa juu wa meli. Ni kama dari juu ya bodi yake.

Sitaha ya meli ya karne ya 19.

Sitaha ya juu ni mahali pa watu kukalia au kuwekea vitu.

Meli kubwa huwa na sitaha mbalimbali chini ya sitaha ya juu. Kwa maana hiyo sitaha ni ghorofa ndani ya meli.