Sokwe Mtu
Sokwe mtu wa kawaida (Pan troglodytes) katika bustani ya wanyama
Sokwe mtu wa kawaida (Pan troglodytes) katika bustani ya wanyama
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota (Viumbe walio na seli zenye kiini)
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda: Haplorrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na kima)
Oda ya chini: Simiiformes (Wanyama kama kima)
Familia ya juu: Hominoidea (Masokwe)
Familia: Hominidae (Masokwe wakubwa)
Nusufamilia: Homininae
Kabila: Hominini
Jenasi: Pan
Ngazi za chini

Spishi 2:

Msambao wa (nusu)spishi za sokwe mtu: nyekundu - P. paniscus, buluu - P. t. schweinfurthii, zambarau - P.t. troglodytes, kijani - P.t. vellerosus, njano - P.t. verus.
Msambao wa (nusu)spishi za sokwe mtu: nyekundu - P. paniscus, buluu - P. t. schweinfurthii, zambarau - P.t. troglodytes, kijani - P.t. vellerosus, njano - P.t. verus.

Masokwe mtu ni wanyama wakubwa wa jenasi Pan katika familia Hominidae (masokwe wakubwa). Masokwe hawa wanaishi katika maeneo ya tropiki ya Afrika.

Spishi hariri

Picha hariri