Tarcisius Ngalalekumtwa

Tarcisius Ngalalekumtwa (amezaliwa 25 Oktoba 1948) ni askofu Mkatoliki nchini Tanzania.

Aliwekwa wakfu na Papa Yohane Paulo II mwaka wa 1989 kama askofu mwandamizi wa Jimbo Katoliki la Sumbawanga.

Tangu tarehe 21 Novemba 1992, ni askofu wa Jimbo la Iringa.

Alipata kuwa rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (2012-2018).

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.