Tisyano wa Oderzo (kwa Kiitalia: Tiziano; Eraklea, Veneto, Italia, karne ya 6 - 16 Januari 632[1]) alikuwa askofu wa mji huo.

Mt. Tisyano wa Oderzo.

Alipinga Uario.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Januari[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Antonio Borrelli (2004). "San Tiziano di Oderzo". Santi e beati. Iliwekwa mnamo August 26, 2011.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.