Tobago ni kisiwa cha Karibi kinachounda na Trinidad na visiwa vingine vidogo nchi huru ya Trinidad na Tobago.

Eneo lake ni la Km² 300, na linakaliwa na watu 60,874, wengi wakiwa na asili ya Afrika.

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
 
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:

  Tobago travel guide kutoka Wikisafiri