Tola (kwa Kiebrania תּוֹלָע, Tola, Tôlāʻ[1]) alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.

Kadiri ya Waamuzi 10:1-2 alikuwa wa kabila la Isakari akaongoza Israeli kwa miaka 23 huko Shamir katika mlima wa Efraimu.

Ndiye mwamuzi ambaye habari zake zimesimuliwa kifupi zaidi.

Tanbihi hariri

  1. His name means "Crimson worm" or "scarlet stuff." International Standard Bible Encyclopedia, "Tola"

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tola kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.