Ubertino wa Casale

Ubertino wa Casale (Casale Monferrato, 12591329 hivi) alikuwa Mfransisko wa Italia maarufu kama kiongozi mmojawapo wa Ndugu wa Kiroho (Spirituali), ambao walishika msimamo mkali katika utawa wa Ndugu Wadogo.[1]

Ubertino wa Casale akimkubatia Yesu Msulubiwa.

Maandishi hariri

  • Ubertino, Arbor vitae crucifixae Christi, (1485; reprinted Turin: Bottega d'Erasmo, 1961)

Tanbihi hariri

  1. Dante Alighieri, Paradiso, XII, 121-126

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.