Uislamu nchini Moroko
Uislamu nchini Moroko ni dini kubwa sana, ikiwa inachukua asilimia zaidi ya 99 ya jumla ya wakazi wote nchini.[1]
Uislamu kwa nchi |
Sehemu kubwa ya Waislamu wa Moroko ni wale wa dhehebu la Sunni wanaofuta mafundisho ya imamu Maliki.
Marejeo hariri
Tazama pia hariri
Makala kuhusu Uislamu kwa nchi bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |