Ukindu ni jani au kitembwe cha mkindu (jina la kisayansi: Phoenix reclinata). Mmea huo, mara nyingi hupatikana katika mito, sehemu zenye kupitiwa na maji mara kwa mara.

Ukindu.

Jani hutumika kusukia kili za kushonea vikapu, mikeka au vitanga. Kitembwe hutumika kwa kusokota kamba.

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ukindu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.