Usindikaji ni mchakato au kitendo cha kuweka vitu kwa namna malumu ili vikae kwa muda mrefu bila kuharibika.

Vitu mbalimbali kutoka baharini vilivyosindikwa.

Kuna vitu vingi vinavyoweza kusindikwa, kwa mfano: nyama, samaki, maziwa, matunda ya aina mbalimbali kama vile zabibu, maembe, machungwa na kadhalika.

Vitu hivyo hutumika katika kutengenezea bidhaa mbalimbali kama vile juisi za matunda, nyama za viwandani (za vikopo) n.k.

Tazama pia hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.