Vali au valvu (kutoka Kiingereza valve) ni kifaa kinachoruhusu kufungua, kufunga, kupunguza au kuongeza mwendo wa kimiminiko au gesi katika bomba au kifaa.

Vali ya tairi: upepo unasukumwa ndani kwa shinikizo kubwa (P2) lakini hauwezi kutoka maana shinikizo la ndani (P1) linaifunga.

Kuna aina nyingi za valvu, zikiwa pamoja na

  • bilula (tapu ya maji, koki) kwenye mwisho wa bomba la maji
  • vali ya tairi inayoruhusu kuingiza upepo ndani yake na kuzuia hewa ya ndani isitoke
  • vali ya kudhibiti kumiminika kwa fueli katika injini au kutolewa kwa hewa chafu kutoka injini
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.