Vancouver ni mji wa pwani uliopo kwenye bandari kuu ya kusini-magharibi mwa jimbo la British Kolumbia, Kanada. Huu ni mji mkubwa kabisa katika British Kolumbia na pia mji wa tatu kwa ukubwa katika Kanada, wenye zaidi ya watu milioni 2.

Vancouver, Kanada
Vancouver

Panorama ya Vancouver

Mahala pa Vancouver

Eneo

Maeneo ya Metro

Idadi ya watu

Pop'n Rank

Metro Pop'n

Metro rank

Densiti ya watu

114.67 km²

2,878.52 km²

602,231 (2005 est.)

8

2,132,824 (2004 est.)

3

4758/km²

Mahala

altitude|altitudo

49°16' N 123°7' W

Usawa wa Bahari 167 mita

Umeanzishwa 1886
Jimbo

Mkoa

British Kolumbia

Vancouver Kubwa

Meya

Kiongozi wa Mji

Sam Sullivan

Judy Rogers

Saa za Eneo

Kodi ya Posta

Kodi ya Eneo

Pasifiki (UTC-8)

V5K to V6Z

604, 778

Asili ya Mji hariri

Mji wa Vancouver ulianzishwa mnamo mwaka wa 1886, na kupewa jina hilo kwa heshima ya George Vancouver, aliyekuwa baharia kutoka nchini Uingereza. Aliishi kunako miaka ya 1700, na alikuwa akitumia boti kupitia maeneo haya na kugundua mji wa Vancouver na Kisiwa cha Vancouver.

  Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Vancouver kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.