Vedran Ćorluka (alizaliwa Februari 5, 1986) ni mchezaji wa soka wa Kroatia ambaye anachezea Lokomotiv Moscow; yeye hucheza namba tano,.

Vedran Ćorluka

Ćorluka alihitimu kutoka Chuo cha Vijana cha Dinamo Zagreb,alicheza katika kabla yake ya kwanza mwaka 2003. Mwaka 2007, aliuzwa kwa Pauni£ 8 milioni kwenda Ligi Kuu ya Uingerezana kucheza katika klabu ya Manchester City, na baada ya msimu kuhamia Tottenham Hotspur.

Alitumia misimu minne huko na kujiunga na kabla ya Lokomotiv Moscow.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Vedran Ćorluka kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.