Verona ni mji wa Italia katika mkoa wa Veneto. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, kuna wakazi wapatao 265,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 59 juu ya usawa wa bahari.

Sehemu ya mbali mbali za mji


Verona
Nchi Italia
Mkoa Veneto
Wilaya Verona
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 265,083
Tovuti:  www.comune.verona.it/

Mji umo katika orodha ya urithi wa dunia ya UNESCO.

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
  Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Verona kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.