Vikta na Korona (walifariki Syria, karne ya 2 hivi) walikuwa Wakristo walioteswa na hatimaye kuuawa katika dhuluma ya Dola la Roma [1].

Mchoro mdogo wa kifodini cha Wat. Vikta na Korona, Paris, 1480 hivi.

Vikta alikuwa askari ambaye, wakati wa kuteswa kwa ajili ya imani yake, alitiwa moyo na Korona, msichana wa miaka 16 aliyekwishaolewa na askari mwingine[2][3][4].

Hatimaye Vikta alikatwa kichwa, Korona aliraruliwa vipandevipande akiwa hai.

Tangu kale Kanisa linawaheshimu kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 14 Mei[5].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92614
  2. "Victor and Stephanie". www.goarch.org. Greek Orthodox Archdiocese of America. Iliwekwa mnamo 21 March 2020.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. Acta sanctorum: Ed. novissima (1866), vol. 16, p. 265
  4. Le martyrologe d'Usuard (1867), p. 270
  5. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.