Vincent Kigosi (maarufu kama Ray; amezaliwa 16 Mei 1980) ni mwigizaji, mwongozaji na mtayarishaji mkubwa wa filamu kutoka nchini Tanzania.[2] Makao makuu yake ni Dar-es-Salaam.[3]

Vincent Kigosi
AmezaliwaVincent Kigosi
16 Juni 1980 (1980-06-16) (umri 43)[1]
Majina mengineRay The Greatest
Kazi yake
NdoaChuchu Hans
WatotoJaden The Greatest

Kigosi vilevile anajiita Mr. Nollywood,[4] japokuwa ametengeneza filamu nyingi za Bongo Films.

Kigosi alianza kazi ya uigizaji mwaka 2000 kupitia vipindi vya televisheni na soap opera halafu akaanza kucheza katika filamu mbalimbali.

Ana kampuni yake mwenyewe ya filamu, akiwa na mwigizaji mwenzake Blandina Changula (Johari), maarufu kama RJ Company.

Filmografia hariri

Marejeo hariri

  1. "Vincent Kigosi- English biography". bongocinema.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-07-04. Iliwekwa mnamo 20 February 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-01-03. Iliwekwa mnamo 2017-09-11. 
  3. http://www.ippmedia.com/frontend/index.php?l=29300
  4. Mahir Saul, Ralph A. Austen. Viewing African Cinema in the Twenty-First Century: Art Films and the ... uk. 84. 

Viungo vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Vincent Kigosi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

[[Jamii:Afrocine 2019-Tanzania]