Vindisiani
Askofu wa Cambrai-Arras
Vindisiani (kwa Kifaransa: Vindicien; Bullecourt, leo nchini Ufaransa, 632 hivi – 712) alikuwa askofu wa pili wa Cambrai-Arras kuanzia mwaka 668[1] hadi kifo chake[2][3].
Alimtaka mfalme Teodoriko III afanye toba kwa kosa la kumuua Leodegari.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Decraene, Claire. "Visit Mont-Saint-Eloi", Arras Pays d’Artois Tourisme
- ↑ Van der Essen, Léon. "St. Vindicianus." The Catholic Encyclopedia Vol. 15. New York: Robert Appleton Company, 1912. 2 December 2021
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/44530
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |