Visiwa vya Baleari

Visiwa vya Baleari (kwa Kikatalunya: Illes Balears) ni funguvisiwa la bahari ya Kati, karibu na rasi ya Iberia, na ni sehemu ya Ufalme wa Hispania.

Ramani ya Baleari.

Visiwa vikubwa ni vinne: Majorca, Minorca, Ibiza na Formentera. Vingine ni vidogo.

Vile vikubwa vinapata watalii wengi wanaovutiwa na hali ya hewa na pwani.

Wakazi wamehesabiwa kuwa 1,106,049 (2010).

Lugha rasmi ni Kihispania na Kikatalunya.

Upande wa dini, wakazi wengi ni Wakristo wa Kanisa Katoliki.

Viungo vya nje hariri

  Balearic Islands travel guide kutoka Wikisafiri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Visiwa vya Baleari katika Open Directory Project

  Makala hii kuhusu maeneo ya Hispania bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Visiwa vya Baleari kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.