Vitus Mtakatifu alikuwa mtoto Mkristo (labda kutoka Sicilia, kisiwa kikubwa cha Italia) aliyefia dini yake wakati wa dhuluma za makaisari wa Dola la Roma Diocletian na Maximian mwaka 303, akiwa na umri wa miaka 13 hivi[1].

Mt. Vitus katika Nuremberg Chronicle, 1493.
Kifodini cha Wat. Vitus, Modestus na Kreshensya.

Kwa sababu hiyo tangu kale Vitus peke yake, baadaye pamoja na walezi wake Modesto na Kreshensya[2][3], anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Juni[4] ambayo kwa Waorthodoksi ni tarehe 28 Juni ya kalenda ya kimataifa.

Picha hariri

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. www.santiebeati.it/dettaglio/57300
  2. The earliest testimony for their veneration is offered by the "Martyrologium Hieronymianum" (ed. G. B. de Rossi-Louis Duchesne, 78: "In Sicilia, Viti, Modesti et Crescentiae"). The fact that the note is in the three most important manuscripts indicates that it was also in the common exemplar of these, which appeared in the fifth century.
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/77000
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.