Volteji (kwa Kiing. voltage) ni kani inayosababisha mwendo wa mkondo wa umeme. Asili ya kani hiyo ni tofauti uweza wa umeme kati ya sehemu mbili tofauti katika saketi. Volteji hupimwa kwa vizio vya volti (V).

Betri mara nyingi hutumiwa kama chanzo cha volteji

Marejeo hariri