Wastigmatini (kutoka jina la Shirika la Madonda Matakatifu, ambayo kwa Kilatini yanaitwa Stigmata) ni shirika la kitawa la kikleri la Kanisa Katoliki. Jina rasmi ni Congregatio a Sacris Stigmatibus Domini Nostri Iesus Christi, kifupisho chake ni C.S.S.

Mt. Gaspare Bertoni, mwanzilishi.

Historia hariri

Wastigmatini walianzishwa na mtakatifu Gaspare Bertoni tarehe 4 Novemba 1816 huko Verona, Italia.

Katiba ya kwanza ilifuata kielelezo cha ile ya Wajesuiti iliyoandikwa na Ignas wa Loyola.

Shirika lilikua polepole: mwaka 1905 liliingia Marekani na mwaka 1910 Brazil.

Halafu China, Uthai, Ufilipino na nchi mbalimbali za Afrika (zikiwemo Afrika Kusini, Botswana, Ivory Coast, Tanzania) na Amerika (Kanada na Chile).

Mwaka 2002 lilifikia India.[1]

Takwimu hariri

Mwaka 2012 walikuwa 422, wakiwemo mapadri 331, katika nyumba 92.

Utume hariri

Tanbihi hariri

  1. Stigmatines History, Rev. Joseph Henchey, CSS, Web-site dedicated to St. Gaspar Bertoni

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wastigmatini kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.