Western Lakes (jimbo)


Western Lakes State ni mojawapo kati ya majimbo 32 yanayounda Sudan Kusini.

Western Lakes State
Mahali paWestern Lakes State
Mahali paWestern Lakes State
Mahali pa Western Lakes katika Sudan Kusini
Nchi Sudan Kusini
Makao makuu Rumbek
Idadi ya kaunti 9
Idadi ya manispaa
Serikali
 - Gavana Matur Chut Dhuol
Idadi ya wakazi (Kadirio la 2014)
 - Wakazi kwa ujumla 546,240

Imegawanyika katika kaunti 9: Rumbek County (makao makuu: Rumbek), Eastern Bhar Naam County (makao makuu: Aduel), Wulu County (makao makuu: Wulu), Western Bhar Naam County (makao makuu: Pacong), Malueth County (makao makuu: Meen), Malek County (makao makuu: Malek), Aloor County (makao makuu: Maper), Bhargel County (makao makuu: Bhargel) na Amongping County (makao makuu: Amongpiny).[1][2]

Tanbihi hariri

  1. "9 Counties Established In Western Lakes State", Gurtong, 30 August 2016. Retrieved on 27 November 2016. Archived from the original on 2017-11-06. 
  2. "Nine new counties created in Western Lakes states", Sudan Tribune, 1 September 2016. Retrieved on 27 November 2016. Archived from the original on 2016-11-03. 
  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Western Lakes (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.