Wikipedia:Makala kwa ufutaji

Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!

Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi:

Utaratibu wa ufutaji: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa {{futa}} juu ya makala na kutaja sababu zake
  • a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na
  • b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa ==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==.
  • Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu.
  • Isipokuwa uharabu unaoeleweka moja kwa moja unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tendo la kumbana mchangiaji linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika.

Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!

Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma hariri

Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. Kipala (majadiliano) 16:38, 7 Mei 2015 (UTC)[jibu]

Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimilikiKipala (majadiliano)

Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa hariri

(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)

  1. Alfagems Secondary School
  2. Alien (kiumbe)
  3. Amini Cishugi
  4. Amini Cishugi
  5. DJ LYTMAS
  6. Emmaus Shule ya Biblia
  7. JamiiForums
  8. Kigezo:Ambox ‎ IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake
  9. Kigezo:Ambox/hati
  10. Kisoli (ukoo)
  11. Lango:Asia
  12. Maneno Lusasi
  13. Mbonea
  14. Mtumiaji:AliceShine
  15. Mtumiaji:Jabir Mking'imle
  16. Mtumiaji:Mholanzi
  17. Mtumiaji:Ramad Jumanne
  18. Mtumiaji:Silverlombard
  19. Mtumiaji:Tegel
  20. Mtumiaji:Veracious/Draft
  21. Nairobi fly IBAKI, imekuwa kielekezi
  22. Orodha ya miji ya Kiswahili
  23. Faili:Elizabeth Michael2016.jpg
  24. Shinz Stanz
  25. Shule za sekondari
  26. Stopselcub
  27. Tumaini Lenye Baraka
  28. Ukaguzi wa masoko
  29. Webico
  30. Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza

Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. Kipala (majadiliano) 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC)[jibu]

Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. Kipala (majadiliano) 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC)[jibu]

David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na Splitting Adam ‎, Rags, Betty in Newyork, Secret Superstar, Zig na Sharko, Stitches, School of Rock, Starfalls, Aidan Gallagher, PAW Patrol, Danger Force, Nicky, Ricky, Dicky and Dawn, Haunted Hathaways, Transfomers: The Last Knight, Zuchu, Becky Lynch, Sofia the first, Rango (filamu, 2011), Big Time Rush, Kung Fu Panda, Power Rangers Ninja Steel. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. Kipala (majadiliano) 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC)[jibu]

Pia Pj masks. --Riccardo Riccioni (majadiliano) 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC)[jibu]

ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. Olimasy (majadiliano) 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC)[jibu]

Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. Czeus25 Masele (majadiliano) 08:45, 2 Juni 2021 (UTC)[jibu]
Ukiona vile, basi futa! Kipala (majadiliano) 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC)[jibu]

World Wrestling Entertainment, Air force one, Ertugrul, Kaan Urgancıoğlu, Burak Özçivit, Keith lee , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule (mtumiaji:1z beat); zisahihishwe au kufutwa. Kipala (majadiliano) 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC)[jibu]

Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. Kipala (majadiliano) 19:46, 15 Januari 2021 (UTC)[jibu]

Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo.

Aneth David (SLU) (majadiliano) 14:20, 2 Julai 2021 (UTC)[jibu]

Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, Kipala (majadiliano) 14:55, 2 Julai 2021 (UTC)[jibu]


Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. Kipala (majadiliano) 10:56, 12 Julai 2021 (UTC) ---Naomba kuipitia na kuitengeneza.[jibu]

Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi.
Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa Asterlegorch367 (majadiliano) 07:27, 13 Januari 2022 (UTC)[jibu]


Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika hariri

Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --Riccardo Riccioni (majadiliano) 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC)[jibu]

Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa Asterlegorch367 (majadiliano) 07:29, 13 Januari 2022 (UTC)[jibu]


Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. Kipala (majadiliano) 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC)[jibu]

Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe Asterlegorch367 (majadiliano) 07:17, 13 Januari 2022 (UTC)[jibu]
Ni mwana TikTok maarufu, makala yake kwa kiingereza ipo, lakini hii ya Kwneye Wikipedia yetu inaonekana ni kazi ya tafsiri ya Kompyuta bila marekebisho ya kuifanya ieleweke. Hivyo kwa sasa itafutwa na kuzatamiwa kuandikwa upya: NIMEFUTA.Jadnapac (majadiliano) 20:27, 15 Machi 2024 (UTC)[jibu]

Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za Wikipedia:Hakimiliki. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia.

Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. Kipala (majadiliano) 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC)[jibu]

Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku Asterlegorch367 (majadiliano) 07:16, 13 Januari 2022 (UTC)[jibu]

Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? Kipala (majadiliano) 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC)[jibu]

Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa.

Asterlegorch367 (majadiliano) 07:14, 13 Januari 2022 (UTC)[jibu]

Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022 hariri

Ni sawa na alivyoandika Kipala tarehe 7 Mei 2015 kuhusu Chocheeni Kuni: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --Riccardo Riccioni (majadiliano) 07:21, 1 Februari 2022 (UTC)[jibu]


Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. Kipala (majadiliano) 16:44, 13 Juni 2022 (UTC)[jibu]


Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni Franco na Afro Musica, Ngoma ya Sakara , Setapa , Casper Beatz, Momo Wandel Soumah, Laba Sosseh, Maud Meyer na Utalii nchini Somalia. Kipala (majadiliano) 21:14, 13 Juni 2022 (UTC)[jibu]

Nimepitia makala ulizoorodhesha na kuweka ama alama ya vyanzo au futa au zote kwa pamoja. Mwandishi anaonekana ana moyo ila anahitaji mwongozo na usimamizi
Asterlegorch367 (majadiliano) 15:37, 12 Agosti 2022 (UTC)[jibu]


Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. Kipala (majadiliano) 18:54, 20 Julai 2022 (UTC)[jibu]


Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.Kipala (majadiliano) 08:27, 21 Julai 2022 (UTC)[jibu]


Karibu vyanzo vyote ni enwiki tu, hivyo havikubaliki. Ama makala isahihishwe kwa kuipa vyanzo vyenye mashiko, au ifutwe. Kipala (majadiliano) 22:38, 16 Agosti 2022 (UTC)[jibu]

Ni kweli, vyanzo vingi vimetumika kutoka enwiki ambapo ni kinyume na taratibu zinazomtaka mwandishi kutumia vyanzo vingine tofuati na vya Wikipedia nyingine na pia viwe ni vya upili (econdary sources). NIMEFUTAJadnapac (majadiliano) 20:36, 15 Machi 2024 (UTC)[jibu]

Makala haifuati fomati, habari zake ni finyu, marejeo yake ni hovyo kabisa (hakuna ushahidi) Kipala (majadiliano) 19:51, 2 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Tafsiri ya google, iboreshwe au kufutwa. Kipala (majadiliano) 19:32, 3 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. Pia anatumia enwiki kama marejeo ambayo ni marufuku. Kipala (majadiliano) 12:43, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. Pia anatumia enwiki kama marejeo ambayo ni marufuku. Kipala (majadiliano) 12:43, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. Pia anatumia enwiki kama marejeo ambayo ni marufuku. Kipala (majadiliano) 12:43, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. Pia anatumia enwiki kama marejeo ambayo ni marufuku. Kipala (majadiliano) 12:43, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. Pia anatumia enwiki kama marejeo ambayo ni marufuku. Kipala (majadiliano) 12:43, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. Pia anatumia enwiki kama marejeo ambayo ni marufuku. en:Comparison of user features of messaging platforms Kipala (majadiliano) 12:43, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. Pia anatumia enwiki kama marejeo ambayo ni marufuku. Kipala (majadiliano) 12:43, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. Pia anatumia enwiki kama marejeo ambayo ni marufuku. Kipala (majadiliano) 12:43, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. Pia anatumia enwiki kama marejeo ambayo ni marufuku. Kipala (majadiliano) 12:43, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Makala haileweke na vyanzo vilivyotumika ni kutoka Wikipedia ya Kiingereza, haikubaliki, imefutwa. Jadnapac (majadiliano) 21:30, 15 Machi 2024 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. Kipala (majadiliano) 12:43, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. Kipala (majadiliano) 12:43, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google iliyobadilishwa kidogo, lakini bila kuelewa lugha; maana yake haieleweki, tena dhana imefupishwa hadi kutoeleweka. Fomati haifuatwi. Kipala (majadiliano) 22:42, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google iliyobadilishwa kidogo, lakini bila kuelewa lugha; maana yake haieleweki. Fomati haifuatwi. Kipala (majadiliano) 22:42, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google iliyobadilishwa kidogo, lakini bila kuelewa lugha; maana yake haieleweki. Fomati haifuatwi. Kipala (majadiliano) 22:42, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google iliyobadilishwa kidogo, lakini bila kuelewa lugha; maana yake haieleweki. Fomati haifuatwi. Kipala (majadiliano) 22:42, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google iliyobadilishwa kidogo, sentensi si za Kiswahili. Irekebishwe au kufutwa. Kipala (majadiliano) 22:42, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google iliyobadilishwa kidogo, sentensi si za Kiswahili. Irekebishwe au kufutwa. Kipala (majadiliano) 22:42, 7 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google iliyobadilishwa kidogo, lakini bila kuelewa lugha; maana yake haieleweki. Kipala (majadiliano) 06:51, 8 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google iliyobadilishwa kidogo, lakini bila kuelewa lugha; maana yake haieleweki. Kipala (majadiliano) 06:51, 8 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google iliyobadilishwa kidogo, lakini bila kuelewa lugha; maana yake haieleweki. Kipala (majadiliano) 06:51, 8 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. bila kuelewa lugha; maana yake haieleweki. Kipala (majadiliano) 06:51, 8 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. bila kuelewa lugha; maana yake haieleweki. (nimependa hasa "wanawake wa upole!) Kipala (majadiliano) 06:57, 8 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Makala katika hariri

Makala hizi zinahitaji kuangaliwa; nimekuta mifano mingi ya tafsiri ya kompyuta. Kipala (majadiliano) 07:02, 8 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Naona yanahitaji kuangaliwa yote. Ametumia mara kwa mara tafsiri ya kompyuta Kipala (majadiliano) 07:20, 8 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google 1:1. bila kuelewa lugha; sehemu hazieleweki. Kipala (majadiliano) 16:13, 8 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Matini ni tafsiri ya google iliyobadilishwa kidogo, sehemu hazieleweki. Isahihishwe au kufutwa. Kipala (majadiliano) 16:13, 8 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Nimefuta. Jadnapac (majadiliano) 20:15, 15 Machi 2024 (UTC)[jibu]

Naona kwa jumla michango yake yote ni ya google translate, ingawa nilikosa muda kupitilia zote. Wengine wasaidie! Kipala (majadiliano) 07:34, 10 Septemba 2022 (UTC)[jibu]

Nimeweka makala zake kwenye ukurasa huu kwa jailli ya kufuta
Asterlegorch367 (majadiliano) 11:31, 15 Machi 2023 (UTC)[jibu]

Makala zilizoletwa hapa mwaka 2023 hariri

Makala ina dalili ya kutumika kwa tafsiri ya Mashine,lakini pia vyanzo vilivyotumika vimetokana na Link za Wikipedia ya Kiingereza,Idd ninga (majadiliano) 12:09, 19 Machi 2023 (UTC)[jibu]

:: Olimasy (majadiliano)

Haieleweki kwa nini mwimbaji huyu atajwe katika wikipedia (hajatafsiri habari yoyote inayoeleza umuhimu au umaarufu wa mtu huyu), pili amejaribu kusahihisha tafsiri ya kompyuta lakini kwa namna isiyoeleweka kabisa. Matokeo haikubaliki. Je "muziki mbadala" ni kitu gani?? "uingereza Colombia" ni kitu gani?? Tena "Marekani-Kanada" ni nchi gani?? isahiishwa kabisa au kufutwa. Kipala (majadiliano) 23:13, 9 Aprili 2023 (UTC) ːː Olimasy (majadiliano)[jibu]

Anastahili makala lakini hapa mwanzilishi alimwaga tu mstari michache isiyo na habari yoyote kwa nini huyu anastahili makala. Ama tuongeze au tufute. Kipala (majadiliano) 10:07, 22 Mei 2023 (UTC)[jibu]

Kuhusiana na hii makala sasa naona tunaweza iondoa katika makala kwa ufutaji. Husseyn Issa (majadiliano) 12:16, 23 Mei 2023 (UTC)[jibu]
Sioni chochote kinachoeleweka na kutaja michango yake. Ni mfano wa makala iliyotungwa na mchangiaji ambaye labda alishindwa na mada hiyo, kwa hiyo aliogopa kuleta hitimisho ya kazi yake; Labda alihamasishwa tu na nia ya kutunga chochote ili aweza kuchangia kitu bila kujali analeta nini. Kama haiongezwi inafaa kufutwa. Kipala (majadiliano) 16:09, 23 Mei 2023 (UTC)[jibu]

Tafsiri ya Kompyuta Czeus25 Masele (majadiliano) 13:11, 23 Mei 2023 (UTC)[jibu]

Kuna uharibifu wa kimakusudi kwenye hiyo makala hiyo, sehemu yote ya makala ilinakiliwa [[hapa [[1]] 001edits (majadiliano) 13:34., 22 Mei 2023 (UTC)

Imefutwa tayari.Jadnapac (majadiliano) 21:11, 15 Machi 2024 (UTC)[jibu]

Makala ya kujitangaza vyanzo vyote vya kulipia (Press Release). Sio maarufu. 001edits (majadiliano) 09:44., 26 Juni 2023 (UTC)

Ilikwisha futwa.Jadnapac (majadiliano) 21:08, 15 Machi 2024 (UTC)[jibu]

Makala ina maudhui ya kujitangaza na hakuna vyanzo vya kuaminika kwani imerejewa mitandao ya kijamii ambayo sio vyanzo kabisa kulingana na sera yetu. Olimasy (majadiliano)

Olimasy nimeongeza vigezo vya umaarufu na vyanzo kwakuwa makala haina vyanzo na itatia shaka kuhusu kufuatwa kwa sera ya umaarufu. Kama vyanzo havitawekwa kwa angalau wiki 2 zijazo, tutaifuta.Jadnapac (majadiliano) 21:14, 15 Machi 2024 (UTC)[jibu]

Makala inahusu mwana blogu ambaye mwandishi hajaweza kuthibitisha umaarufu wake kwa kutumia vyanzo vinavyokubalika katika unadishi wa makala za Wikipedia.Jadnapac (majadiliano)

Makala hii haieleweki, ni hadithi isiyoeleweka na pia haijaandikwa kiensaiklopedia. Imefutwa.Jadnapac (majadiliano) 21:23, 15 Machi 2024 (UTC)[jibu]