Wizara ya Maliasili na Utalii
Wizara ya Maliasili na Utalii (kwa Kiingereza: Ministry of Natural Resources and Tourism; kifupi MNRT) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dodoma.
Marejeo hariri
Tazama pia hariri
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |