Yekaterinburg (Kirusi: Екатеринбург) ni mji wa Urusi. Ina wakazi 1,293,537. Iko katika mkoa wa Sverdlovsk Oblast. Mji ulipokea jina lake kwa heshima ya Yekaterina, mke wa tsar Peter I wa Urusi wakati mji ulianzshwa chini ya utawala wake mnamo mwaka 1723.

Yekaterinburg

Baada ya mapinduzi ya kikomunisti jina la mji lilibadilishwa kuwa Sverdlovsk kwa kumbukumbu ya mwanamapinduzi Sverdlov lakini jina la kiasili lilirudishwa mwaka 1991 baada ya mwisho wa ukomunisti.

Leo Yekaterinburg ni jiji na mji mkuu wa kanda la Ural.

Marejeo hariri

Tazama pia hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Yekaterinburg kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.