Ystad ni manispaa na pia mji nchini Uswidi katika mkoa wa Skåne. Kuna wakazi 17,286 (mwaka 2005).

Ystad

Jiografia hariri

Eneo lake ni 7.92 km².


Viungo vya nje hariri



  Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ystad kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.