Zürich
jiji katika Uswisi Kaskazini
Zürich ni mji mkuu wa Jimbo la Zürich nchini Uswisi. Idadi ya wakazi wake ni takriban 382,000.
Jiji la Zürich | |
Mahali pa mji wa Zürich katika Uswisi |
|
Majiranukta: 47°22′44″N 8°32′28″E / 47.37889°N 8.54111°E | |
Nchi | Uswisi |
---|---|
Majimbo | Jimbo la Zürich |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 382.000 |
Tovuti: www.stadt-zuerich.ch |
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Uswisi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Zürich kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |