Majadiliano:Makamu wa askofu

Latest comment: miaka 12 iliyopita by 41.221.34.70

Je kuna kweli sababu ya kuwa na makala hii? Kwanza kichwa cha makala jinsi ilivyo ingetakiwa kutaja mamakamu wa maaskofu katika makanisa au madhehebu mbalimbali. Pili sijui kuna kitu gani katika makamu sisiyo kawaida kwa makamu yoyote. Isingetosha kumtaka makamu katika makala ya askofu? 91.98.113.164 20:39, 31 Machi 2012 (UTC)Reply

Ukurasa huu upo katika lugha nyingine 16 pia. --41.221.34.70 12:33, 5 Aprili 2012 (UTC)Reply
Return to "Makamu wa askofu" page.