Majadiliano:Mchawi

Latest comment: miaka 13 iliyopita by Riccardo Riccioni

Makala inakosa maelezo yanayotakiwa kulingana na kamusi elezo. Iboreshwe na kupelekwa kwenye hali ya kitaalamu kiasi au ifutwe. Kama mwanzilishaji anaamini kuwepo kwa majini, mapepo n.k. sharti ajue kwa nini watu wengine hawaamini hasa wataalamu hawakubali hoja hili, sharti aweze kutaja maoni mengine na sababu zao na kurejea majadiliano yaliyopo katika swali hili Kipala ([[Majadiliano ya

Kabisa! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 03:56, 19 Septemba 2010 (UTC)Reply
Return to "Mchawi" page.