Majadiliano:Shambulio la mfululizo la kifafa
Latest comment: miaka 7 iliyopita by Baba Tabita in topic Lugha
Lugha hariri
Makala ilivyo haieleweki vizuri. Kwa jumla, sentensi ni ndefu mno, na zina virai vingi mno. Mswahili aelewaye mambo ya tiba airekebishe. Asante. --Baba Tabita (majadiliano) 07:30, 24 Juni 2016 (UTC)