Majadiliano:Shambulio la mfululizo la kifafa

Latest comment: miaka 7 iliyopita by Baba Tabita in topic Lugha

Lugha hariri

Makala ilivyo haieleweki vizuri. Kwa jumla, sentensi ni ndefu mno, na zina virai vingi mno. Mswahili aelewaye mambo ya tiba airekebishe. Asante. --Baba Tabita (majadiliano) 07:30, 24 Juni 2016 (UTC)Reply

Return to "Shambulio la mfululizo la kifafa" page.