Majadiliano:Tanzu za fasihi simulizi

Fasihi simulizi ina tanzu kuu nne(4)

  • hadithi
  • semi
  • ushairi
  • sanaa za maigizo\sanaa za maonesho

hadithi hariri

ni tungo za fasihi simulizi ambazo ni fupifupi zitumiazo lugha ya nadharia.

semi hariri

ni fungu za tungo za fasihi simuliziambazo ni fupifupi zenye kutumia picha tamathali na semi ya ishara.

ushairi hariri

ni fungu la fasihi simulizi linalojumuisha tungo zote zenye kutumia mapigo yenye utaratibu maalumu.

sanaa za maigizo\sanaa za maonesho hariri

Ni sanaa zinazoambatana na utendaji wa vitendo vya wahusika mbele ya hadhira.mfano michezo ya majukwaani.

sifa za tanzu za fasihi simulizi hariri

  • kufa
  • kuzaliwa
  • kukua.

kila tanzu ina vipera vyake

vipera vya hadithi hariri

  • Ngano
  • Vigani
  • Visasili
  • Tarihi
  • Soga

vipera vya semi hariri

  • Methali
  • Vitendawili
  • Nahau
  • Misemo
  • Mafumbo
  • Lakabu
  • Mizungu

vipera vya ushairi hariri

  • Shairi
  • Utenzi
  • Nyimbo
  • Ngonjera
  • Maghani

vipera vya maigizo hariri

  • Majigambo
  • Vichekesho
  • Kuigiza
  • Mivigha\miviga
  • Ngoma
Return to "Tanzu za fasihi simulizi" page.