Embe ni aina ya tunda ambalo huliwa na watu pia embe ni tamu sana.Embe linatokana na mti uitwao muembe.Muembe ni mti unaozaa maembe pia muembe huota katika ukanda wa joto.Pia miti mbalimbali huota katika ukanda huo wa joto.asilimia kubwa ya watu hula maembe kwa ajili ya kuimarisha afya zao.Tunapokula maembe tunapata faida mbalimbali katika miili yetu.Faida hizo ni kama vile,tunapata,vitamini C vitamini hivyo huimarisha uono wa macho yetu,pia tunapokula maembe miili yetu inaimarika dhidi ya magonjwa mbalimbali.

Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!

Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.

Ukipenda kutumia kurasa zetu za mwongozo na msaada, a) ukitumia simu bofya kwa "Dawati" chini kwenye dirisha lako na n) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "Switch to old look" kwenye menyu upande wa kushoto.

Kwa mawili matatu labda tazama:

Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia ukurasa wako kwa majaribio. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye ukurasa wako wa mtumiaji. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.

Ujue miiko:

Tunakushauri pia kuandikisha email yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!


Welcome to Kiswahili Wikipedia!

We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to this site. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at Wikipedia:Wakabidhi. And, please:

  • do not post computer translated texts (like Google Translate, Content Translation, etc. all do not work for Swahili)
  • nor copied texts/images from other webs to this site!
  • do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.

As a newcomer we advise that you register your email. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.

Asante kwa majaribio ya kuchangia. Naomba soma kurasa zilizotajwa hapa juu. Pia peleleza kama jambo limeshapata makala. Kwa bahati mbya habari za Usultani wa Zanzibar imeshapata makala, ilikuwa vile na "viwanda" maana kiwanda kilikuwepo. Ni vema kutafuta kwanza istilahi ambako unataka kuandika. Kama makala ni fupi mno au sehemu za mada hazipo unaweza kuongeza habari. Kipala (majadiliano) 20:58, 14 Julai 2017 (UTC)Reply