Makumbusho ya Kitaifa ya Mambo ya Kale na Sanaa za Kiislamu

Makumbusho ya Kitaifa ya Mambo ya Kale na Sanaa ya Kiislamu (kwa Kifaransa: Musée National des Antiquités & des Arts Islamiques) ni jumba la makumbusho la sanaa huko Algiers, Algeria.[1]

Makumbusho ya Mambo ya Kale mwaka 1899 hivi.

Marejeo

hariri
  1. "Museum: Entrance Hall, II, Algiers, Algeria". World Digital Library. 1899. Iliwekwa mnamo 2013-09-25.

Viungo Vya Nje

hariri