Malatya
Malatya (Kihiti: Melid; Kigiriki: Μαλάτεια, Malateia; Kiarmenia: Մալաթիա, Malatia; Kikurdi: Meletî [1], Kilatini: Melitene) ni mji mkuu wa Jimbo la Malatya huko mkoa Mashariki mwa Anatolia nchini Uturuki.
Malatya | |
Nchi | Uturuki |
---|---|
Mkoa | Anatolia ya Mashariki |
Jimbo | Malatya |
Idadi ya wakazi (2000) | |
- | 381,081 |
Tovuti: www.malatya.gov.tr |
Takriban watu 381,081 wanaoishi huko (sensa ya 2000). Mji upo mita 954 juu ya usawa wa bahari.
MarejeoEdit
Viungo vya NjeEdit
- Arslantepe Archived 5 Machi 2006 at the Wayback Machine. University of Rome's English and Italian webpages on the excavations
- Malatya
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Malatya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |