Malatya (Kihiti: Melid; Kigiriki: Μαλάτεια, Malateia; Kiarmenia: Մալաթիա, Malatia; Kikurdi: Meletî [1], Kilatini: Melitene) ni mji mkuu wa Jimbo la Malatya huko mkoa Mashariki mwa Anatolia nchini Uturuki.

Mji wa Malatya


Malatya
Nchi Uturuki
Mkoa Anatolia ya Mashariki
Jimbo Malatya
Idadi ya wakazi (2000)
 - Wakazi kwa ujumla 381,081
Tovuti:  www.malatya.gov.tr

Takriban watu 381,081 wanaoishi huko (sensa ya 2000). Mji upo mita 954 juu ya usawa wa bahari.

Marejeo hariri

Viungo vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Malatya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.