Marion Böker

Kiongozi wa haki za wanawake nchini Ujerumani

Marion Böker ni kiongozi wa utetezi wa haki za wanawake na mtaalamu wa haki za binadamu wa Ujerumani ambaye anahudumu kama rais wa 16 wa International Alliance of Women (IAW).

Ana shahada ya uzamili katika historia ya kisasa na mawasiliano. Amefanya kazi kama mhadhiri wa siasa na baadaye kama mshauri anayelenga kutekeleza haki za binadamu. Amechapisha vitabu na makala kadhaa.[1]

Marejeo hariri

  1. "International Alliance of Women - HOME". International Alliance of Women (kwa en-GB). Iliwekwa mnamo 2023-12-21. 
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Marion Böker kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.