Nchi za Maziwa Makuu

(Elekezwa kutoka Maziwa makubwa ya Afrika)

Nchi za Maziwa Makuu ni nchi zinazopakana na maziwa makubwa ya Afrika ya Mashariki ambazo ni Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya, Rwanda, Tanzania, Uganda. . Kati ya maziwa makubwa yaliyoko katika eneo hili kuna

Maziwa Makuu kutoka angani.

Eneo hili ni muhimu kimataifa kutokana na bioanwai kubwa: asilimia 10 ya spishi za samaki wote duniani zinapatikana katika maziwa yake.

Maziwa ya Viktoria, Tanganyika na Nyasa hushika robo moja ya maji matamu (yasiyo maji ya chumvi) yaliyopo duniani kote.

Marejeo

hariri
  • Jean-Pierre Chrétien. The Great Lakes of Africa: Two Thousand Years of History trans Scott Straus

Viungo vya nje

hariri
 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nchi za Maziwa Makuu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


8°00′S 35°00′E / 8.000°S 35.000°E / -8.000; 35.000