Mbagala
Mbagala ni jina la kata ya Wilaya ya Temeke katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania yenye postikodi namba 15113[1].Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao 52,582 waishio humo.[2]
Kata ya Mbagala | |
Mahali pa Mbagala katika Tanzania |
|
Majiranukta: 6°52′8″S 39°15′40″E / 6.86889°S 39.26111°E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Dar es Salaam |
Wilaya | Temeke |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 52,582 |

Inasemekana kata hii ni chafu, ndiyo maana inaongoza kwa mlipuko wa magonjwa, na pia kuna miundombinu mibovu na msongamano wa nyumba, watu wengi kuwa na shule ndogo na hizo shule kukosa vifaa na walimu: hizo ndio shida kubwa zinazosumbua Mbagala.
Pia Mbagala hakuna shida za maji kama kata nyingine za jiji.
Marejeo Edit
- ↑ https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dsm.pdf[dead link]
- ↑ http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Archived 2 Januari 2004 at the Wayback Machine. Wilaya ya Temeke - Mkoa wa Dar es Salaam
Kata za Wilaya ya Temeke - Tanzania | ||
---|---|---|
Azimio | Buza | Chamazi | Chango'mbe | Charambe | Keko | Kibondemaji | Kiburugwa | Kijichi | Kilakala (Temeke) | Kilungule | Kurasini | Makangarawe | Mbagala | Mbagala Kuu | Mianzini | Miburani | Mtoni (Temeke) | Sandali | Tandika | Temeke (kata) | Toangoma | Yombo Vituka |
Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mbagala kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |