9 Mei

tarehe
(Elekezwa kutoka Mei 9)
Apr - Mei - Jun
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Tarehe 9 Mei ni siku ya 129 ya mwaka (ya 130 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 236.

Matukio hariri

Waliozaliwa hariri

Waliofariki hariri

Sikukuu hariri

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Nabii Isaya, Herma wa Roma, Pakomi, Wafiadini mia tatu na kumi wa Uajemi, Denisi wa Vienne, Geronsi wa Cervia, Beatus wa Vendome, Yosefu Do Quang Hien n.k.

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 9 Mei kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.